Home » » IMANI ZA KISHIRIKINA ZA TAWALA RUKWA NA KUSABABISHA UHALIBIFU MKUBWA WA MAKAZI YA WATU WA KOO MOJA HUKO KIJIJI CHA MLENJE KALAMBO KWA NYUMBA ZAO KUCHOMWA MOTO NA KUBOMOLEWA

IMANI ZA KISHIRIKINA ZA TAWALA RUKWA NA KUSABABISHA UHALIBIFU MKUBWA WA MAKAZI YA WATU WA KOO MOJA HUKO KIJIJI CHA MLENJE KALAMBO KWA NYUMBA ZAO KUCHOMWA MOTO NA KUBOMOLEWA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Baada ya familia moja kupatwa ni msiba wa kijana wao aitwaye HAMIS SIMWANZA aliyefia kwa mganga wa jadi kijiji cha legezamwendo ilisababisha familia ile kuhisi kijana huyo amerogwa ndani ya familia hiyo na kupelekea kubomoa na kuchoma nyumba za washukiwa hao ikiwa ni tarehe 29/05/2014 hata hivyo polisi wilaya humo walikuwa mstari wa mbele kuhakikisha amani inarudi kijijini pale na kuondoa imani hiyo ya ushirikina katika  kijiji hicho ambacho kipo mpakani kati ya Mbeya na Rukwa 
 Nyumba ikiwa imechomwa moto kwa imani ya Kishirikina
 Nyumba Nyengine ikiwa imechomwa moto kwa imani za Kishirikina
 Nyumba hii pia imechomwa moto kwa imani za Kishirikina
 Nyumba ikiwa imebomolewa na kuchomwa moto kwa imani za Kishirikina
 Hii ndio balaa lililolikumba kijiji hiki baada ya kushukiwa ni wachawi na nyumba zao kuchomwa moto

 Mabaki ya Moja ya nyumba baada ya Kuchomwa moto
 Bomoa bomoa ikiwa inaendelea hapa walikuwa wanatoa mapaa kisha kubomoa nyumba hizo
 Walichoma kila kitu
 Mji umebakia magofu tuu
 Ni Uharibifu mkubwa
 Nyumba zote hizo zimeathiriwa
 Magofu baada ya kuchomwa moto

 Polisi wakiwa eneo la tukio kushuhudia kile kilicho tokea
 Hatari
 Mke wa Marehemu Hamis Simwanza aliyefia kwa Mganga wa Jadi
 Vitu Mbali mbali vikiwa vinachomwa moto
 Ni uharibifu tuu
 Shuhuda akiangalia uharibifu huo

 Majonzi




 Mama Mzazi wa Hamisi Simwanza ambaye alifariki akiwa anatibiwa kwa mganga

 Hasara



 Hakuna makazi tena

Picha zote na Rukwa yetu Blog
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Rukwa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa