Na Elizabeth Ntambala wa www.matukiodaima.com Sumbawanga.
WATU watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti mkoani Rukwa likiwemo la mmoja kukanyagwa na gari akiwa anampiga ngumi dereva wa gari hilo baada ya kukanyaga dishi alilokuwa akitumia kuoshea viatu.
Kaimu kamanda wa polisi Longinus Tibishubwamu alisema katika tukio la kwanza la kwanza
lilitokea Julai 25 majira ya saa 5 za asubuhi Wakati Kijana Herman Jackson(30)mkazi wa mjni sumbawanga alipopoteza maisha baada ya kugongwa na gari no T.548 AED Scania mali ya William Palangyo wa Dar saalam iliyokuwa ikiendeshwa Keneth Mlwilo(29) mkazi wa malangali .
Inadaiwa kuwa kabla ya tukio hilo saa tano asubuhi ya Julai
29 maeneo ya mazwi N.MC.hapa mjini kijana huyo ambaye alikuwa ni mng’alisha
viatu “shoeshiner” alikuwa anaendelea na kazi yake pembeni ya barabara na ndipo gari hilo lilipompita na
kukata kona ili kuingia mtaaa mwingine ndipo liligonga meza yake ya kufanyia
biashara.
Kaimu Tibishubwana alisema kuwa baada ya kuona hivyo aliamua kulikimbilia na kudandia kwenye mlango wa dereva huku gari ilikiwa bado kwenye mwendo kasi akimuashiria dereva asimamishe gari ili wafikie muafaka ,ndipo Jackson alidondoka na gari likamkanyaga na kufariki
dunia papo hapo .
Katika tukio la pili Wiliam Salamba (18) alifariki dunia baada
ya gari alilokuwa amepanda lenye no
T.296 AMN Toyota Hilux pick up kuacha njia na kugonga gari No T194 BSH Foton
iliyokuwa imeegeshwa pembeni mwa barabara.
Ajali hiyo ilitokea saa 2;30i usiku wa julai 27 maeneo ya
kijiji cha mtimbwa katika barabara ya sumbawanga matai ambapo gari hilo
liliacha njia lilikuwa linaendeshwa na Richard Kana(29)mkazi wa chipu ambaye
alikamatwa na atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi wa awali utakapo
kamilika.
Aidha katika ajali hiyo abiria wanne akiwemo dereva huyo
walipata majeruhi sehemu mbalimbali za miili yao na uchunguzi unaonyesha ni ulevi wa dereva.
Kaimu Tibishubwana alisema kuwa baada ya kuona hivyo aliamua
kulikimbilia na kudandia kwenye mlango wa dervahuku ilikiwa bado lipo kwenye
mwendo kasi akimuashiria dereva asimamishe gari ili wafikie muafaka ,kwa bahati
mbaya kijna huyo alidongoka na gari likamkanyaga na kufariki dunia papo hapo
.
Pia katika tukio jingine lililotokea kijijini Kipa mwambao mwa Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga ambapo John mwabulambo(49) alifariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la
wavuvi wakimtuhumu kuiba nyavu za kuvulia samaki yenye thamani ya Sh 200,000.
Kwa mujibu wa Tibishubwamu mtuhumiwa aitwaye Andrew Namboti (32) ananashikiliwa kwa mahojiano na Polisi akihusishwa na tukio hilo kwamba atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi wa shauri lake hilo utakapokamilika .
CHANZO MATUKIO DAIMA BLOG
WATU watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti mkoani Rukwa likiwemo la mmoja kukanyagwa na gari akiwa anampiga ngumi dereva wa gari hilo baada ya kukanyaga dishi alilokuwa akitumia kuoshea viatu.
Kaimu kamanda wa polisi Longinus Tibishubwamu alisema katika tukio la kwanza la kwanza
lilitokea Julai 25 majira ya saa 5 za asubuhi Wakati Kijana Herman Jackson(30)mkazi wa mjni sumbawanga alipopoteza maisha baada ya kugongwa na gari no T.548 AED Scania mali ya William Palangyo wa Dar saalam iliyokuwa ikiendeshwa Keneth Mlwilo(29) mkazi wa malangali .
Inadaiwa kuwa kabla ya tukio hilo saa tano asubuhi ya Julai
29 maeneo ya mazwi N.MC.hapa mjini kijana huyo ambaye alikuwa ni mng’alisha
viatu “shoeshiner” alikuwa anaendelea na kazi yake pembeni ya barabara na ndipo gari hilo lilipompita na
kukata kona ili kuingia mtaaa mwingine ndipo liligonga meza yake ya kufanyia
biashara.
Kaimu Tibishubwana alisema kuwa baada ya kuona hivyo aliamua kulikimbilia na kudandia kwenye mlango wa dereva huku gari ilikiwa bado kwenye mwendo kasi akimuashiria dereva asimamishe gari ili wafikie muafaka ,ndipo Jackson alidondoka na gari likamkanyaga na kufariki
dunia papo hapo .
Katika tukio la pili Wiliam Salamba (18) alifariki dunia baada
ya gari alilokuwa amepanda lenye no
T.296 AMN Toyota Hilux pick up kuacha njia na kugonga gari No T194 BSH Foton
iliyokuwa imeegeshwa pembeni mwa barabara.
Ajali hiyo ilitokea saa 2;30i usiku wa julai 27 maeneo ya
kijiji cha mtimbwa katika barabara ya sumbawanga matai ambapo gari hilo
liliacha njia lilikuwa linaendeshwa na Richard Kana(29)mkazi wa chipu ambaye
alikamatwa na atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi wa awali utakapo
kamilika.
Aidha katika ajali hiyo abiria wanne akiwemo dereva huyo
walipata majeruhi sehemu mbalimbali za miili yao na uchunguzi unaonyesha ni ulevi wa dereva.
Kaimu Tibishubwana alisema kuwa baada ya kuona hivyo aliamua
kulikimbilia na kudandia kwenye mlango wa dervahuku ilikiwa bado lipo kwenye
mwendo kasi akimuashiria dereva asimamishe gari ili wafikie muafaka ,kwa bahati
mbaya kijna huyo alidongoka na gari likamkanyaga na kufariki dunia papo hapo
.
Pia katika tukio jingine lililotokea kijijini Kipa mwambao mwa Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga ambapo John mwabulambo(49) alifariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la
wavuvi wakimtuhumu kuiba nyavu za kuvulia samaki yenye thamani ya Sh 200,000.
Kwa mujibu wa Tibishubwamu mtuhumiwa aitwaye Andrew Namboti (32) ananashikiliwa kwa mahojiano na Polisi akihusishwa na tukio hilo kwamba atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi wa shauri lake hilo utakapokamilika .
CHANZO MATUKIO DAIMA BLOG
0 comments:
Post a Comment