Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, Mhe. Kakusulo Sambo akiongoza Mkutano wa Mahakimu Wafawidhi wa Mikoa ya Rukwa na Katavi. Mkutano huo ulikuwa na lengo la kubaini, pamoja na mambo mengine, mashauri ya muda mrefu katika kanda na mikakati ya kuyamaliza mashauri hayo. kushotokwake ni Mhe. Jacobs Mwambegele, Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga na kulia ni Mhe. Matembele; Kaimu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga.
Mahakimu Wafawidhi wa Mikoa ya Rukwa na Katavi wakimsikiliza kwa makini Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, Mh. Kakusulo Sambo (hayupo pichani).
0 comments:
Post a Comment