Home » » Redd's Miss Rukwa 2012 Joketi Joseph aibuka kuwa mshindi.

Redd's Miss Rukwa 2012 Joketi Joseph aibuka kuwa mshindi.

 Baadhi ya wageni wakifuatilia mashindano ya kumsaka mrembo wa mkoa wa Rukwa jana usiku kwenye ukumbi wa bomani mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.
 Majaji wakifuatilia kwa makini wakati washiriki (hawapo pichani))wakipita jukwaani wakati mashindano ya kumsaka mrembo wa mkoa wa Rukwa jana usiku kwenye ukumbi wa bomani mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Timbulo katikati akiwa na wenzake wakitumbuiza katika mashindano ya kumsaka mrembo wa mkoa wa Rukwa jana usiku kwenye ukumbi wa bomani mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.
 Redd's Miss Rukwa 2012 Joketi Joseph akiwa mwenye furaha baada ya kujishindia taji hilo katika mashindano ya kumsaka mrembo wa mkoa wa Rukwa jana usiku kwenye ukumbi wa bomani mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.
 Redd's Miss Rukwa 2012 Joketi Joseph akiwa mwenye furaha baada ya kujishindia taji hilo katika mashindano ya kumsaka mrembo wa mkoa wa Rukwa jana usiku kwenye ukumbi wa bomani mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.
Redd's Miss Rukwa 2012 Joketi Joseph, akiwa ameshika fedha ikiwa ni sehemu ya zawadi aliyopata jana baada ya kutwaa taji la urembo wa mkoa wa Rukwa jana usiku katika ukumbi wa Bomani mjini Sumbawanga.
 Picha zote  na Mussa Mwangoka wa Rukwa yetu blog
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Rukwa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa