Home » » Picha za Ajali ya Jana iliyo tokea Sumbawanga kuelekea Mpanda ambapowatu Sita walifariki hapo hapo.

Picha za Ajali ya Jana iliyo tokea Sumbawanga kuelekea Mpanda ambapowatu Sita walifariki hapo hapo.

 Mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya lori la mizigo iliyotokea jana katika kijiji cha Ntendo, Christina Mbaule (33) akiwa na mtoto wake Subesto Sinkala (1) wakiwa wamelazwa katika wodi namba sita kwenye hospitali ya mkoa mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.

Baadhi ya wananchi wakiangalia gari aina ya lori lenye namba za usajili T 779 BTV lililotumbukia kwenye mto Lukangao jana baada ya kushindwa kupanda mlima na kusababisha vifo vya watu sita hapo hapo na wengine 20 kujeruhiwa vibaya. Picha na Mussa Mwangoka wa Rukwa yetu Blog
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Rukwa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa