RUKWA NI MJI WA UTALII
Baadhi ya watalii wakitembea katika mitaa mbalimbali ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa jana kama walivyokutwa na mpiga picha wetu. picha Mussa Mwangoka.
WANAWAKE NA MAENDELEO
Mmoja wa wakinamama akisambaza ulezi ili uweze kukauka na kuuza kama alivyonaswa na mpiga picha wetu jana kwenye eneo la soko la mandela mjini hapa.
picha na Mussa Mwangoka wa Rukwa yetu BLOG
0 comments:
Post a Comment