Home » » Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Laela Mkoani Rukwa

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Laela Mkoani Rukwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Laela mara baada ya kuweka jiwe la Msingi la ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa tarehe 17 Julai, 2024

Shamrashamra za Wananchi wa Laela wakati wakimpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi Mkoani Rukwa tarehe 17 Julai, 2024.
 

Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Rukwa Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa