Timu ya Mpira wa miguu yamaveterani kutoka Sumbawanga Mkoa wa Rukwa wakiwa katika Uwanja wa Azimio Mjini Mpanda muda mfupi kabla ya mchezo baina yao na timu ya veteran ya Wilaya Mpanda katika mchezo uliofanyika hapo jana katika uwanja wa Azimio ambapo maveteran wa Sumbawanga walifungwa magori mawili kwa moja na maveterani wa Mpanda
Picha na Walter Mguluchuma.
0 comments:
Post a Comment